ERITREA IMETOA SHERIA MPYA: OA WAKE WAWILI AU NENDA JELA. - GOLDGREENZ

"Mind is the greatest asset of all the time" ---Goldgreen

http://onvictinitor.com/afu.php?zoneid=3013357

Thursday, September 21, 2017

demo-image

ERITREA IMETOA SHERIA MPYA: OA WAKE WAWILI AU NENDA JELA.


download1
download1
Wanaume nchini Eritrea, wameagizwa na serikali kuoa mke zaidi ya mmoja, la sivyo unajiweka kwenye hatari ya kwenda jela.
Serikali pia imeahidi kusaidia gharama za harusi pamoja na nyumba. Sheria hii imekuja kutokana na uhaba wa wanaume nchini humo uliotokana na vita kati ya Eritrea na Ethiopia ambapo zaidi ya wanajeshi 150,000 waliuwawa.
Sheria hii haiwahusu wanaume peke yao, mwanamke atakaye kataa mume wake asioe mwanamke wa pili anaadhibiwa kwa kifungo cha maisha jela.
Jina la Eritrea linamaanisha “Red Sea” kwa Kigiriki.
Zifuatazo ni baadhi ya picha za wasichana wa Eritrea.


335298ba1b9d2ac1f7c70caa8cc105d1

1503782_tumblr

Denmark-1024x683-1024x683

download

Eritrean-women

ethiopian
venezuelan-women-4-931x1024

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *